• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Mufindi District Council
Mufindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Planing and Statistics Department
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara yaElimu ya Msingi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii,Jinsia na Vijana
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Tehama
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Kisheria
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na MH. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

Ofisi ya Waziri Mkuu, Yawanufaisha Vijana na Walemavu Mufindi

Posted on: September 27th, 2022

Ofisi ya Waziri Mkuu, Yawanufaisha Vijana na Walemavu Mufindi

26/09/2022

Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Mhe. Saad Mtambule wa lipi leo tarehe 21/09/2022' amekabidhi mashine za kushonea nguo (vyerehani 06, vilivyotolewa na Ofisi ya Waziri Mkuu kazi ajira na wenye Ulemavu

Miongoni mwa wanufaika wa Vyerehani hivyo ni pamoja na kikundi cha wazalishaji Work Group chenye vijana wa kike watano kutoka Kata ya Madabulo, ambao wamepatiwa Vyerehani vitatu lakini pia Ndugu Aberd Nyaganilwa, ambaye ni mlemavu wa kusikia kutoka Kata ya Luhunga akinufaika kwa kupata Vyerehani vitatu.

Vitendea kazi hivi vinavyotolewa na Serikali kwa lengo la kuwainua kiuchumi Vijana na watu wenye ulemavu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi, vimetolewa bure na Ofiosi ya Waziri Mkuu kazi, ajira na watu wenye Ulemavu.

Akizungumza mara baada ya kukabidhi vifaa hivyo Mkuu wa Wilaya, amemshukuru Rais Mhe. Samia Suluhu na Serikali ya awamu ya sita kwa ujumla kwa nia njema ya kuinua uchumi wa makundi maalum na kuwasisitiza wanufaika kuvitunza ili viweze kukidhi matarajio ya Serikali ya kuwainua wananchi wake kiuchumi.

KAZI IENDELEE

Taarifa na Ofisi ya Kitengo cha Mawasiliano Serikalini

MUFINDIDC

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

Tangazo

  • Tunakodisha Ukumbi wa Halmashauri Uliopo Mafinga April 17, 2017
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Bilioni 55 Kutumika Bajeti ya 2023/2024 Halmashauri ya Mufindi

    February 07, 2023
  • Mkuu wa Mkoa Aridhishwa

    December 13, 2022
  • Bilioni 1.4 za World Vision Kunufaisha Maelfu ya Kaya Mufind

    December 06, 2022
  • Watumishi Halmashauri ya Mufindi Waaswa Kuwa Wamoja na Kuzingatia Maadili ya Kazi

    November 25, 2022
  • Angalia Zote

Video

MAKALA TASAF MUFINDI KAYA MASKINI
Video Nyingine

Viungio vya Haraka

  • Muongozo wa Kutumia Mfuo wa FFRAS

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Ajira za Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu Mkoa wa Iringa
  • Hati ya Mishahara ya Watumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://thesiswritingservice.net/

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mufindi District Council Office

    Postal Address: 223 Mafinga

    Telephone: 026 - 2772614

    Mobile: 026 - 2772614

    Barua Pepe: ded@mufindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani

Copyright ©2018 Mufindi District Council. All rights reserved.