• Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Mufindi District Council
Mufindi District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Taasisi
    • Idara
      • Idara ya Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Idara ya Utumishi na Utawala
      • Idara ya Fedha na Biashara
      • Planing and Statistics Department
      • Idara ya Elimu Sekondari
      • Idara yaElimu ya Msingi
      • Idara ya Maendeleo ya Jamii,Ustawi wa Jamii,Jinsia na Vijana
      • Idara ya Afya
      • Idara ya Maji
      • Idara ya Maliasili, Ardhi na Mazingira
      • Idara ya Mifugo na Uvuvi
      • Idara ya Ujenzi
    • Kitengo
      • Kitengo cha Tehama
      • Ugavi na Manunuzi
      • Ukaguzi wa ndani
      • Kitengo cha Nyuki
      • Kitengo cha Uchaguzi
      • Kitengo cha Sheria
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Huduma za Kisheria
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
    • Kamati za Kudumu za Halmashauri
      • Kamati ya Fedha,Uongozi na Mipango
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Kudhibiti UKIMWI
      • Kamati ya Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Waheshimiwa Madiwani
      • Kuonana na MH. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Iliyoidhinishwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi Iliyokamilika
  • Machapisho
    • Fomu
    • Sheria Ndogo
    • Taarifa
    • Miongozo
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Habari
    • Matukio

KM Chongolo Aumwagia Sifa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufind

Posted on: May 31st, 2023


KM Chongolo Aumwagia Sifa Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi 

Katibu Mkuu wa Chama cha Mpinduzi CCM Ndg Daniel Chongolo, ameusifu na Kuupongeza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi Unaoongozwa na Mwenyekiti wa Halmashauri Mhe. Festo Mgina na Mtendaji Mkuu wake Mkurugenzi Bi. Zaina Mlawa.

Mtendaji Mkuu huyo wa Chama tawala, ametoa Sifa hizo Wakati wa Ziara ya Kichama Wilayani Mufindi, inayoangazia Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM.

"Kwa kweli Halmashauri ya Mufindi Mnafanya Kazi, Mwenyekiti wa Halmashauri na Mkurugenzi wako Songeeni hapa niwashike Mkono, Mimi nimezunguka Kwenye Miradi Mingi, lakini Mufindi Mnafanya Vizuri, Mfano, Majengo haya ya Shule chini ya Mradi wa BOOST, Sehemu zote ilizopita bado wapo Katika hatua za Mwanzo Kabisa”

"Sasa pamoja na kwamba Fedha hizi Mmezipokea siku si nyingi, leo Mpo Katika hatua Kubwa ya Ujenzi, Kwa kweli inaonesha mnatimu nzuri ya CMT lakini pia Mnatimu nzuri ya Baraza la Madiwani, mnatekeleza Miradi kwa haraka na Ubora, ninyi mnaakisi Vizuri maono ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan na huu ndio Utendaji tunaoutaka"

Alisisitiza Ndug. Chongolo, wakati akikagua Ujenzi wa Shule Mpya ya KISALASI iliyopo Kata ya Igowole, inayojengwa kwa gharama ya Milioni 347,500,000 Fedha ambayo Ilitolewa na Serikali Kuu na Kupokelewa Tarehe 24 Aprili 2023.

TAARIFA NA ; Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Halmashauri ya Mufindi.



Tangazo

  • ORODHA-YA-ASASI-ZILIZOPATA-KIBALI-CHA-UANGALIZI-WA-UBORESHAJI-WA-DAFTARI-MWAKA-2024/2025 June 27, 2024
  • TANGAZO LA KAZI JULAI 2024 MUFINDI DC July 22, 2024
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MUFINDI DC OKTOBA 2024 October 01, 2024
  • TANGAZO KWA UMMA KUHUSU MIKOPO YA 10% MUFINDI DC October 02, 2024
  • Angalia Zote

Habari Mpya

  • Baraza la Madiwani Halmashauri Wilaya ya Mufindi Lapitisha Rasimu ya Mpango na Bajeti RUWASA na TARURA kwa mwaka wa fedha 2025/2026

    May 14, 2025
  • Watendaji wa Kata na Vijiji wanolewa ukusanyaji wa kodi ya Majengo

    April 10, 2025
  • Watendaji wa kata wasisitizwa kuendelea kusimamia suala la lishe kwenye maeneo yao

    March 27, 2025
  • Watumiaji wa mfumo wa NeST wapigwa msasa Mufindi DC

    March 11, 2025
  • Angalia Zote

Video

MAKALA TASAF MUFINDI KAYA MASKINI
Video Nyingine

Viungio vya Haraka

  • Muongozo wa Kutumia Mfuo wa FFRAS

Tovuti Mashuhuri

  • Tovuti ya Serikali
  • TAMISEMI
  • Watumishi Portal
  • Ajira za Utumishi
  • Ofisi ya Mkuu Mkoa wa Iringa
  • Hati ya Mishahara ya Watumishi

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

https://thesiswritingservice.net/

Location Map

Wasiliana Nasi

    Mufindi District Council Office

    Postal Address: 223 Mafinga

    Telephone: 026 - 2772614

    Mobile: 026 - 2772614

    Barua Pepe: ded@mufindidc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Onyo
    • Maswali ya Mara kwa Mara
    • Ramani

Copyright ©2018 Mufindi District Council. All rights reserved.